Monday, 26 February 2018

MIGUNA MIGUNA HURU KURUDI KENYA

ad300
Advertisement
Mahakama kuu ya Nairobi imeamrisha serekali kumpa hati ya kusafiria kwa wakili mashuhuri aliyepia na uraia wa nchi ya Canada  Miguna Miguna iliaweze kuingia nchini akisubiria uamuzi wa kesi yake ya kupiga kurudishwa nchini Canada na serekali itakapoamuliwa.
Jaji Mwita alisema haki ya kimsingi ya wakili huyo haikuzingatiwa katika kufurushwa kwake kutoka humu nchini.
Jaji Chacha Mwita alisisitiza kuwa wakili huyo yuko huru kuingia tena  nchini kenya na ikiwa serekali itamnyima pasi hiyo basi anaruhusa hata kutumia pasi yake ya kusafiria ya Canada.
wakati huo huo jaji huyo alifutilia kwa mdaa  notisi ya waziri wa usalama Dr Matiang’i kwenye gazeti ya serekali kuwa NRM ni kundi haramu nchini.
Share This

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

Related Posts

0 comments: