Takribani zaidi ya miaka 13 sasa Radio Salaam imekuwa stesheni bora katika mkoa wa Pwani na Kenya kwa ujumla katika maswala mbalimbali kuhusu jamii,siasa na maendeleo.
katika miaka 13 hii Radio Salaam imekuwa namba moja katika kukuza na kutoa wanahabari tajika katika nchi ya Kenya na ulimwengu...
Chachu ya Radio Salaam yarudi
