Thursday, 24 January 2019

Chachu ya Radio Salaam yarudi

Chachu ya Radio Salaam yarudi
Takribani zaidi ya miaka 13 sasa Radio Salaam imekuwa stesheni bora katika mkoa wa Pwani na Kenya kwa ujumla katika maswala mbalimbali kuhusu jamii,siasa na maendeleo. katika miaka 13 hii Radio Salaam imekuwa namba moja katika kukuza na kutoa wanahabari tajika katika nchi ya Kenya na ulimwengu...

Sunday, 25 November 2018

Tuesday, 6 November 2018

KEN REL BIS Y254 TV HOST WHO IS GIVING WILLY M TUVA AND JAMAL GADDAFI SLEEPLESS NIGHTS

 KEN REL BIS Y254 TV HOST WHO IS GIVING WILLY M TUVA AND JAMAL GADDAFI SLEEPLESS NIGHTS
Ken Rel Bis Y254 Presenter When you speak of Kenyan top Swahili presenters on the entertainment scene Mzazi willy M Tuva, Mwende Macharia, Clemmo CMC and Mwinyi Kazungu will definitely come first on your mind as they are well known for their musical shows on your favourite radio stations...

Wakaazi wa watamu walalamika kwa mradi kutoendelea

Wakaazi wa watamu walalamika kwa mradi kutoendelea
bango linaloonesha shule ya sekondari ya watamu katika mchoro  Ni bango lililoko katika barabara ya kuelekea katika kijiji cha kitalii cha Watamu katika eneo bunge la Kilifi Kaskazini katika kaunti ya Kilifi ambapo niliekwa miaka kadhaa sasa eneo hilo likiashiria ujenzi wa shule ya...

Friday, 26 October 2018

Wema afungiwa kuigiza Tanzania

Wema afungiwa kuigiza Tanzania
Muigizaji Wema Sepetu  Muigizaji wa tasnia ya filamu nchini Tanzania Wema Sepetu amefungiwa na baraza la sanaa nchini humo kwa kile kinachosemekana kama video isiyo na maadili iliyosambaa sana katika mitandao ya kijamii. Kwa niaba ya baraza la filamu nchini Tanzania uongozi umeamua...

Jengo la poromoka Malindi

Jengo la poromoka Malindi
Jengo lililoporomoka katika mji wa Malindi  Mtu mmoja amefariki baada ya jengo lenye ghorofa saba kuporomoka mjini Malindi kwenye kaunti ya Kilifi. Kulingana na baadhi ya waliofika katika eneo hilo, mkasa huo umetokea mwendo wa saa kumi na moja alfajiri huku kukisikika mlio mkubwa...

Monday, 6 August 2018

Mwanamke ashindwa kulipa bili ya hospitali

Mwanamke ashindwa kulipa bili ya hospitali
Mwanamke mmoja ameshindwa kulipia bili ya hospitali ya kata ya mariakani katika kaunti ya kilifi,mwanamke huyo alilazwa hospitalini mnamo Juni 25 kupitia usaidizi wa Mbunge wa Kaloleni Paul Katana ,Mbunge huyo alilipa KSh 10,000 lakini mgonjwa anatarajiwa kulipa KSh 9,700 za ziada. Mwanamke...
Page 1 of 81238Next »